• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Bumbuli District Council
Bumbuli District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Mahesabu
      • Maendeleo ya Jamii na Huduma ya Lishe
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Mahesabu
    • Kata
      • BAGA
      • BUMBULI
      • DULE B
      • KISIWANI
      • KWEMKOMOLE
      • MAHEZANGULU
      • MAMBA
      • MAYO
      • MGWASHI
      • MILINGANO
      • MPONDE
      • NKONGOI
      • SONI
      • TAMOTA
      • USAMBARA
      • VUGA
      • KWEMAKONKO
      • MBUZII
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kijiji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Utalii
    • Viwanda
    • Biashara
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma
    • Ushauri katika Kilimo
    • Ushauri katika Mifugo
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali na Utoaji Mikopo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyopangwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Vitega Uchumi vya Halmashauri
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Fomu
    • Makala
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KUPATA HUDUMA ZA UVUNAJI NA USAFIRISHAJI WA MAZAO YA MISITU

Taratibu za kufuatwa ili kupata huduma ya uvunaji na usafirishaji wa mazao ya misitu


Uvunaji wa Miti ya kupandwa ya Mbao

1. Muombaji anayetaka kuvuna miti ya kupandwa ya mbao atalazimika kuandika barua yake ya kusudio la kufanya hivyo kwenda kwa Halmashauri ya Kijiji husika ikitaja aina ya uvunaji kama vile mbao, magogo, mirunda, mahali uvunaji huo utakapofanyika, madhumuni ya uvunaji, aina ya miti na idadi yake.

2. Halmashauri ya Kijiji husika ikikubali ombi hilo, baada ya kupata ushauri wa Kamati ya Mazingira ya Kijiji, italipitisha ombi hilo kwa kuandika barua kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya akiambatanisha na barua ya muombaji wa uvunaji huo.

3. Afisa Misitu Wilaya akikubali maombi hayo ya uvunaji, atayapitisha na kisha muombaji atapewa Ruhusa ya Uvunaji wa Mazao Hayo kwa kujaza Fomu Na. 1

4. Muombaji aliyepewa ruhusa ya uvunaji ataendelea na kazi yake na atakapomaliza atatakiwa kupata barua ya Mtendaji wa Kijiji husika kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya, ikimtaarifu kuwa kazi ya uvunaji imekamilika na kunahitajika Huduma ya Nyundo na Kibali cha Kusafirishia mazao hayo kwa sasa.

5. Afisa Misitu Wilaya akishapokea barua hiyo atamuelekeza Meneja Misitu Wilaya wa TFS kutoa huduma hizo kwa mvunaji husika.

6. Mvunaji husika atalazimika kulipa ushuru wa Halmashauri ya Wilaya, gharama za kibali cha kusafirisia mazao ya misitu, faini ya Kutumia Msumeno wa Nyororo kabla ya kupata huduma husika.

7. Wakati wa kugongewa Nyundo, Mvunaji, Bwana Miti na Mtendaji wa Kijiji watalazimika kujaza Fomu Na. 2 ya Ruhusa ya Kusafirisha Mazao ya Misitu ambayo ni moja ya nyaraka muhimu.


Uvunaji wa Miti ya Matunda

1. Muombaji anayetaka kuvuna miti ya matunda atalazimika kuandika barua yake ya kusudio la kufanya hivyo kwenda kwa Halmashauri ya Kijiji husika ikitaja aina ya uvunaji kama vile mbao, magogo, mirunda, mahali uvunaji huo utakapofanyika, madhumuni ya uvunaji, aina ya miti na idadi yake.

2. Halmashauri ya Kijiji husika ikikubali ombi hilo, baada ya kupata ushauri wa Bwana au Bibi shamba na Kamati ya Mazingira ya Kijiji, italipitisha ombi hilo kwa kuandika barua kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya akiambatanisha na barua ya muombaji wa uvunaji huo.

3. Afisa Misitu Wilaya akikubali maombi hayo ya uvunaji, atayapitisha na kisha muombaji atapewa Ruhusa ya Uvunaji wa Mazao Hayo kwa Kujaza Fomu Namba Moja.

4. Muombaji aliyepewa ruhusa ya uvunaji ataendelea na kazi yake na atakapomaliza atatakiwa kupata barua ya Mtendaji wa Kijiji husika kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya, ikimtaarifu kuwa kazi ya uvunaji imekamilika na kunahitajika Huduma ya Nyundo na Kibali cha Kusafirishia mazao hayo kwa sasa.

5. Afisa Misitu Wilaya akishapokea barua hiyo atamuelekeza Meneja Misitu Wilaya wa TFS kutoa huduma hizo kwa mvunaji husika.

6. Mvunaji husika atalazimika kulipa Ushuru wa Halmashauri ya Wilaya, Gharama za Kibali cha Kusafirisia Mazao ya Misitu, Faini ya Kutumia Msumeno wa Nyororo kabla ya kupata huduma husika.

7. Wakati wa Kugongewa Nyundo, Mvunaji, Bwana Miti na Mtendaji wa Kijiji watalazimika kujaza Fomu Namba Mbili ya Ruhusa ya Kusafirisha Mazao ya Misitu ambayo ni moja ya nyaraka muhimu.


Uvunaji wa Miti ya asili

1. Muombaji anayetaka kuvuna miti ya miti ya asili atalazimika kuandika barua yake ya kusudio la kufanya hivyo kwenda kwa Halmashauri ya Kijiji husika ikitaja aina ya uvunaji kama vile mbao, magogo au mirunda, mahali uvunaji huo utakapofanyika, madhumuni ya uvunaji, aina ya miti na idadi yake.

2. Halmashauri ya Kijiji husika ikikubali ombi hilo, baada ya kupata ushauri wa Kamati ya Mazingira ya Kijiji, italipitisha ombi hilo kwa kuandika muhtasari kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya akiambatanisha na barua ya muombaji wa uvunaji huo.

3. Afisa Misitu Wilaya akishayapokea maombi hayo ya uvunaji, atayawasilisha kwenye Kamati ya Uvunaji Wilaya ambako yatajadiliwa rasmi.

4. Maombi hayo yakishapitishwa, ukaguzi na upimaji wa miti hiyo utafaanyika ili kukadiria ujazo na gharama za malipo, kisha waombaji watapewa Liseni ya Uvunaji na Ruhusa ya Uvunaji wa Mazao Hayo kwa Kujaza Fomu Namba Moja.

5. Muombaji aliyepewa Liseni na ruhusa ya uvunaji ataendelea na kazi yake na atakapomaliza atatakiwa kupata barua ya Mtendaji wa Kijiji husika kwenda kwa Afisa Misitu Wilaya, ikimtaarifu kuwa kazi ya uvunaji imekamilika na kunahitajika Huduma ya Nyundo na Kibali cha Kusafirishia (TP) mazao hayo kwa sasa.

6. Afisa Misitu Wilaya akishapokea barua hiyo atamuelekeza Meneja Misitu Wilaya wa TFS kutoa huduma hizo kwa mvunaji husika.

7. Mvunaji husika atalazimika kulipa Ushuru wa Halmashauri ya Wilaya, Gharama za Kibali cha Kusafirisia Mazao ya Misitu, Faini ya Kutumia Msumeno wa Nyororo kabla ya kupata huduma husika.

8. Wakati wa Kugongewa Nyundo, Mvunaji, Bwana Miti na Mtendaji wa Kijiji watalazimika kujaza Fomu Namba Mbili ya Ruhusa ya Kusafirisha Mazao ya Misitu ambayo ni moja ya nyaraka muhimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU March 24, 2025
  • UANDIKISHAJI WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA MWAKA 2023 December 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA July 06, 2023
  • WALIOCHAGULIWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO September 29, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • Rais Dkt. Samia azindua jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli

    February 24, 2025
  • WAHESHIMIWA MADIWANI BUMBULI WAPATIWA VISHIKWAMBI

    February 06, 2024
  • MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKRONIKI WA KUAJIRI 'AJIRA PORTAL'

    December 12, 2023
  • KIKAO KAZI CHA USALAMA MAHALA PA KAZI

    September 25, 2023
  • View All

Picha Jongefu

MFUMO WA MIKOPO YA 10% - NAMNA YA KUJISAJILI
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • FURSA ZA KILIMO CHA CHAI
  • USHAURI KATIKA MASUALA YA KILIMO
  • FURSA KATIKA MASUALA YA MIFUGO
  • FOMU YA MAOMBI MBALIMBALI
  • ELIMU YA UJASIRIAMALI NA UTOAJI WA MIKOPO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI
  • MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    02 KITONGOJI CHA UGUNGA

    Postal Address: S.L.P 111, BUMBULI

    Telephone: 0272977530

    Mobile:

    Email: ded@bumbuklidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli. Haki Zote Zimehifadhiwa.